Mwanadada Miriam Migomba
Amesisitiza Wanawake kuungana na kuweza kufanya harakati za kujikomboa na umaskini pamoja. Hili ni tukio la pili kuandaliwa na kikundi cha umoja wa wanawake Tanga (Wochata) baada ya awali kuandaa event kama hiyo tarehe 3 mei mwaka huu. Katika shughuli hiyo Wochata waliwaalika watoa mada Regina Mwaleka (mada ya ndoa) na Joy Nyambogo (mada ya Ujasiriamali). Mgeni rasmi katika shughuli hiyo alikuwa Madam Latifa Shehoza.
Mgeni rasmi, Madam Latifa Shehoza (katikati) akiwa na Mtangazaji maarufu Regina Mwaleka (Kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Wochata Risala A. Samiji katika Shughuli ya Wochata iliyofanyika mwezi mei 3, 2014.

No comments:
Post a Comment