PSI ni moja ya mashirika makubwa duniani yanayotoa huduma za afya hapa nchini. Ambapo TPSF wao ni taasisi ya sekta binafsi Tanzania.
Mashirika haya mawili yatatoa Wawakilishi kuja kuwaelemisha Wanawake wa Tanga katika Shughuli ya Wochata Jol itakayofanyika tarehe 14 Oktoba 2014, katika ukumbi wa Regal Naivera Tanga.

No comments:
Post a Comment