||

WOCHATA

WOCHATA

WOCHATA

WOCHATA

WOCHATA

WOCHATA

Tuesday, 30 September 2014

PSI NA TPSF KUWAWEZESHA WANAWAKE TANGA

Zikiwa zimebaki siku 14 tu kufanyika kwa ile Shughuli ya Wochata Jol inayosubiriwa kwa hamu na wakazi wa mkoa wa Tanga. PSI na TPSF wameahidi kuja kuwaelimisha Wanawake wa Tanga na kuwawezesha kupata fursa za kupata elimu ya Afya ya uzazi (PSI) na Ujasiriamali (TPSF).
PSI ni moja ya mashirika makubwa duniani yanayotoa huduma za afya hapa nchini. Ambapo TPSF wao ni taasisi ya sekta binafsi Tanzania.

Mashirika haya mawili yatatoa Wawakilishi kuja kuwaelemisha Wanawake wa Tanga katika Shughuli ya Wochata Jol itakayofanyika tarehe 14 Oktoba 2014, katika ukumbi wa Regal Naivera Tanga.



No comments:

Post a Comment